Mercredi 17 juillet 2024

Archives

Mauaji ya raia 2 kutoka Ulaya huko Kiremba/ Kesi yachukua mkondo mwengine

05/06/2013 Commentaires fermés sur Mauaji ya raia 2 kutoka Ulaya huko Kiremba/ Kesi yachukua mkondo mwengine

Hakimu Rémy Nsabimana aliyesimamia kesi hio alitiwa ndani kwenye jela ya Ngozi hapo ijumapili disemba 6 jioni. Analaumiwa kuibia nyaraka fulani kwenye faili ihusuyo kesi hio ya mauaji ya Sista Manic Lucrezia kutoka Croatia na Francesco Bazzani, raia wa Italy amabao walikuwa wakitowa huduma kwe hospitali ya Kiremba, mkoani Ngozi, kaskazini mwa Burundi. Watuhumiwa ambao ni wanafunzi 2 walikatiwa adhabu ya kifungo cha maisha. <doc2280|left>Hakimu huyo aliwekwa kizuizini bada ya kuhojiwa kwa siku nzima na mwendeshamashaka mkuu kwenye mahakama ya rufaa jijini Ngozi, Jérôme Ndaje. Faili ya hakimu huyo imekwisha funguliwa, ni ’’RMPG 2887/NJ’’. Licha ya hayo hakimu huyo aliyesimamia kesi hio anabaini kua mwendeshmashtaka alimtia ndani sababu alimruhusu, bada ya kesi kukatwa (ni kinyume na sheria), mtuhumiwa mmoja katika mauaji hayo kutowa kauli yake ambapo alikiri kua mauaji hayo njama zilipangwa na viongozi fulani wa ngazi za juu pakiwemo mbunge Jean Baptiste Nzigamasabo maarufu Gihahe. Mwendeshamashaka mkuu kwenye mahakama ya rufaa jijini Ngozi, Jérôme Ndaje anatupilia mbali madai hayo, anasema hali ya kua mtuhumiwa huyo alipewa nafasi ya kijitetea na huku kese iwekwisha malizika haibadili chochote. Duru za kuaminika kutoka Ngozi zasema hakimu huyo hana hatia na hakimu huyo anakiri kua kamwe hakugusa fali hizo. Mwendeshamashaka mkuu kwenye mahakama ya rufaa jijini Ngozi anasema hatosita kufanya uchunguzi mwengine ikionekana wa kua kuna dosari fulani. Kana mashahidi wengine ambao wamesikilizwa hapo ijuma tano tarehe 7 disemba. Duru kutoka Ngozi zasema faili hio inaonekana kufwuatiliwa kwa karibu na afisa wa idara ya upelelezi. Hata hapo ijuma pili afisa hao walionekana wakati mwendeshamashaka mkuu kwenye mahakama ya rufaa jijini Ngozi akimhoji hakimi huyo aliyesimamia kesi ya Mauaji ya raia 2 kutoka Ulaya.

A nos chers lecteurs

Nous sommes heureux que vous soyez si nombreux à nous suivre sur le web. Nous avons fait le choix de mettre en accès gratuit une grande partie de nos contenus, mais une information rigoureuse, vérifiée et de qualité n'est pas gratuite. Nous avons besoin de votre soutien pour continuer à vous proposer un journalisme ouvert, pluraliste et indépendant.

Chaque contribution, grande ou petite, permet de nous assurer notre avenir à long terme.

Soutenez Iwacu à partir de seulement 1 euro ou 1 dollar, cela ne prend qu'une minute. Vous pouvez aussi devenir membre du Club des amis d'Iwacu, ce qui vous ouvre un accès illimité à toutes nos archives ainsi qu'à notre magazine dès sa parution au Burundi.

Editorial de la semaine

Dépités par nos députés

En décembre dernier, une députée a revendiqué, lors d’une séance de questions au ministre de l’Énergie, une station-service réservée uniquement aux élus, se plaignant d’être méprisée lorsqu’elle devait faire la queue. Ces propos ont profondément choqué l’opinion publique et ont (…)

Online Users

Total 3 740 users online